Taarifa ya shughuli za Mkutano wa 16 wa Baraza la Kumi la Wawakilishi

Posted on: 10.09.2024

Mkutano wa Kumi na Sita wa Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar unatarajiwa kuanza siku ya Jumatano tarehe 11 Septemba, 2024, saa 3:00 asubuhi.

SHUGHULZBARAZA:

Shughuli za Mkutano huo zitakuwa kama ifuatavyo:-

1MaswalnMajibu

Afisi ya Baraza la Wawakilishi imepokea na kuratibu maswali 28kwa ajili ya Mkutano huu.

2Ripoti za Wizara zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuhusu utekelezaji wa Maagizo ya Kamati za Kudumu za Baraza kwa mwaka 2023/2024.

3Mswada wSheria

Mswada mmoja uliosomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa Kumi na Tano utajadiliwa katika mkutano huu. Mswada wenyewe ni:-


Mswada wa Sheria ya Kuanzisha Taasisi ya Utafiti wa Kilimo na Mifugo na
Mambo Mengine Yanayohusiana na Hayo.



//