-
Wajumbe wa Kamati ya Kuchunguza na Kudhibiti Hesabu za Serikali PAC ya Baraza la Wawakilishi chini ya Mwenyekiti wake
Mhe. Juma Ali Khatib wakifatilia majibu ya hoja kuhusu ripoti ya ukaguzi wa Mfuko wa jimbo 2019/2020 katika majimbo
ya Wete, Chonga, Wawi na Mtambwe -
Mwakilishi wa Viti Maalum Mkoa Kaskazini Unguja Mhe. Panya Ali Abdallah akikabidhiwa medali ya ushindi ya mchezo wa
mbio fupi zilizowajumuisha waheshimiwa wenye umri kuanzia miaka 50 katika bonanza la michezo la lililofanyika jijini arusha. -
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akishiriki pamoja na Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Hemed
Suleiman Abdulla, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Taasisi binafsi katika bonanza
maalum lililoambatana na maembezi ya Kuhamasisha wafanyabiashara na Wananchi kulipa na kudai Risiti za Kielekronik. -
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid Akizungumza na Mwenyekiti wa Manispaa ya Jiji la
Posterdam Nchini Ujerumani Pete Heuer pamoja na Ujumbe wake ambao wapo zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha miaka 5
ya udugu na Baraza la Manispaa Mjini. -
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson Akimkabidhi medali Katibu wa Baraza la
Wawakilishi Sports Club ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Nassor Salim Ali wakati wa ugawaji wa Zawadi
kwa washindi wa Bonanza la CRDB BANK PAMOJA BONANZA lilifanyika Jijini Dodoma. -
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdullah akijumuika na wajumbe wa Wajumbe wa Baraza la
Wawakilishi pamoja na Viongozi mbali mbali wa Serikali na Taasisi Binafsi katika Bonanza maalum lililoambatana na
matembezi ya kuhamasisha wafanyabiashara na wananchi kutumia Risiti za Kielektroniki. -
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akifungua mafunzo kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
yaliyoandaliwa na Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar kuhusiana na Sheria ya Maadili ya Viongozi na Sheria ya Mfuko wa
Maendeleo ya Jimbo.

Hon. Zubeir Ali Maulid
(Speaker)

Mrs. Raya Issa Msellem
(Clerk)
- Members of the House
- Upcoming Events
- Visits
- Press Release
- 50 Elected Members;
- Special Seat 18;
- President Nominee 7;
- Speaker 1,
- Attorney General 1;
- Questions();
- Bills Passed();
- Private Motions();
News & Events

Ziara ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Hifadhi ya Taifa ya Arusha National Park
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid amewaongoza Wajumbe wa Baraza

Wawakilishi washiriki Bonanza la michezo Arusha.
Wajumbe wa baraza la wawakilishi Zanzibar wameshiriki bonanza maalum la michezo jijini Arusha kwa

CRDB yawakutaniusha Watunga Sheria katika Bonanza jijini Dodoma
Timu ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeungana na timu ya Bunge la jamhuri ya