-
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdullah akijumuika na wajumbe wa Wajumbe wa Baraza la
Wawakilishi pamoja na Viongozi mbali mbali wa Serikali na Taasisi Binafsi katika Bonanza maalum lililoambatana na
matembezi ya kuhamasisha wafanyabiashara na wananchi kutumia Risiti za Kielektroniki. -
Caption Text1
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akifungua mafunzo kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
yaliyoandaliwa na Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar kuhusiana na Sheria ya Maadili ya Viongozi na Sheria ya Mfuko wa
Maendeleo ya Jimbo. -
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe Dkt Sada Mkuya Salum akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar kwa mwaka 2022/2023

Hon. Zubeir Ali Maulid
(Speaker)

Mrs. Raya Issa Msellem
(Clerk)
- Members of the House
- Upcoming Events
- Visits
- Press Release
- 50 Elected Members;
- Special Seat 18;
- President Nominee 7;
- Speaker 1,
- Attorney General 1;
- Questions();
- Bills Passed();
- Private Motions();
News & Events

Taarifa ya shughuli za Mkutano wa Saba wa Baraza la Kumi la Wawakilishi
Taarifa ya shughuli za mkutano wa saba wa baraza la kumi la wawakilishi utakaojadili

Spika aahidi Mashirikiano kwa Kamati ya Haki na Usawa
Kamati ya ushauri ya kitaifa ya haki na usawa wa kiuchumi kwa wanawake imeandaa

UNDP, Kuimarisha Mpango wa Awali wa kuanzisha Mradi (IPP), kuendeleza mradi wa muda mrefu wa kulijengea uwezo Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo la UNDP, limesema limeimarisha Mpango